Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor sends Ryan Garcia X-rated threat and tells boxer to 'get
your head together or kill yourself' after positive drugs test
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old tested positive for the
performanc...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment