Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City chairman names ‘most exciting’ emerging talent set for
Etihad Stadium breakthrough
-
Man City chairman Khaldoon Al Mubarak has highlighted 17-year-old forward
Ryan McAidoo as the academy sensation currently generating the highest
level of e...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment