Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tax Ombud to launch Taxpayer’s Bill of Rights, Obligations
-
The Office of the Tax Ombud (OTO) has unveiled plans to launch a Taxpayer’s
Bill of Rights and Obligations aimed at strengthening fairness,
transparency ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment