Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Your cheat sheet to beat the bookies on day one at Cheltenham, JP McManus
is primed for birthday success and Sir Anthony McCoy's marathon challenge:
CHELTENHAM BREAKFAST
-
CHELTENHAM BREAKFAST: Nobody wants to win at Cheltenham more than JP
McManus and it will be fascinating to see how many times he hits the
bullseye this week.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment