Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa, Hannes Halldorsson dakika ya 64 kufuatia Hordur Magnusson kuchezewa faulo na Maximiliano Meza wa Iceland katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Uwanja wa Spartak Arena mjini Moscow, Urusi. Argentina ilitangulia kwa bao la Sergio Aguero dakika ya 19, kabla ya Alfred Finnbogason kuisawazishia Iceland dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Brown on 2nd half free throw split: 'I never thought I'd see that in
an NBA Finals game'
-
The New York head coach took to the podium and immediately called out the
free throw discrepancy in the second half of Monday's Game 3 loss to the
Spurs.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment