Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment