Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: Kylian Mbappe set to stay at PSG this summer
-
Kylian Mbappe will sign a new three-year contract with Paris Saint-Germain.
The France forward has agreed to a three-year contract extension that is
close ...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni