Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star Billy Richmond Commits to Arkansas After John Calipari's
Kentucky Exit
-
After leaving Kentucky to become the new head men's basketball coach at
Arkansas, John Calipari has reportedly succeeded in getting a major recruit
to flip…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment