Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bahrain Grand Prix to be hosted in Malaysia in bizarre change to F1
calendar after Middle East chaos - with another extra race lined up
-
Daily Mail Sport understands the replacement venue will be announced,
probably as early as Sunday, to fill a gap left by war in the Middle East.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment