Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
Bahrain Grand Prix to be hosted in Malaysia in bizarre change to F1
calendar after Middle East chaos - with another extra race lined up
-
Daily Mail Sport understands the replacement venue will be announced,
probably as early as Sunday, to fill a gap left by war in the Middle East.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment