• HABARI MPYA

    Sunday, June 24, 2018

    PAMBA HII YA KOCHA MUHSIN MAFTAH ILIKUWA HAICHAGUI WA KUPIGA WALA PA KUPIGIA

    Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.  Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAMBA HII YA KOCHA MUHSIN MAFTAH ILIKUWA HAICHAGUI WA KUPIGA WALA PA KUPIGIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top