Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
MLB Trade Rumors: Luis Castillo, Tyler Mahle Interest Giants; Mets Linked to Mahle
-
"I'm hearing that the Giants are looking at the Reds starters, Castillo and
Mahle. I do think there is a possibility there. The Mets have scouted at
least ...
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni