Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England mabao matatu dakika za 22, 45 na ushei yote kwa penalti na 62 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia leo Uwanja wa Stadion Nizhny Novgorod nchini Urusi. Mabao mengine ya England yamefungwa na John Stones dakika ya nane na 40 na Jesse Lingard dakika ya 36, wakati la Panama limefungwa na Felipe Baloy dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Every word of Jonas’ pre-Leicester presser
-
See what Jonas Eidevall had to say ahead of Sunday's Barclays Women's Super
League game at Emirates Stadium
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment