Mshambuliaji wa Ufaransa, Olivier Grioud akipambana kuwania mpira wa juu na beki wa Denmark, Simon Thorup Kjaer katika mchezo wa Kundi C Kombe la Dunia uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi na timu zote zinakwenda hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia zikiziacha Peru na Australia zikiaga mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cesar Azpilicueta in exit talks with Thomas Tuchel
-
Chelsea captain Cesar Azpilicueta has held exit talks with the club's
manager Thomas Tuchel. Marca reports that the Spaniard sat Tuchel and the
club's mana...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni