Denis Cheryshev akinyoosha mikono juu kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 43 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 wa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2018, Urusi dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi A Ijumaa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow. Mabao mengine ya Urusi yalifungwa na Iury Gazinsky dakika ya 12, Artem Dzyuba dakika ya 71 na Aleksandr Golovin dakika ya 90 na zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
49ers GM Says He's 'Doing Everything' to Keep Samuel, Aiyuk amid NFL Trade
Rumors
-
There has been no shortage of rumors surrounding San Francisco 49ers wide
receivers Deebo Samuel and Brandon Aiyuk this offseason, but general
manager John…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment