Denis Cheryshev akinyoosha mikono juu kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 43 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 wa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2018, Urusi dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi A Ijumaa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow. Mabao mengine ya Urusi yalifungwa na Iury Gazinsky dakika ya 12, Artem Dzyuba dakika ya 71 na Aleksandr Golovin dakika ya 90 na zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiments – PDP
candidate
-
2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiments - PDP
candidate
The post 2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiment...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment