Denis Cheryshev akinyoosha mikono juu kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 43 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 wa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2018, Urusi dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi A Ijumaa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow. Mabao mengine ya Urusi yalifungwa na Iury Gazinsky dakika ya 12, Artem Dzyuba dakika ya 71 na Aleksandr Golovin dakika ya 90 na zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe outlines challenge for his Newcastle players after Champions
League draw with Barcelona
-
Eddie Howe urged his Newcastle side to replicate the levels of their
performance against Barcelona on a more consistent basis.Newcastle led
through Harvey ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment