Kiungo Steven Zuber akishangilia kwenye kibendera cha kona baada ya kuifungia bao la kusawazisha Uswisi dakika ya 50 katika sare ya 1-1 na Brazil leo kwenye mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi, kufuatia Philippe Coutinho kuanza kuwafungia wenyeji wa fainali zilizopita mwaka 2014 dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Another sickening night of football violence: Patrick Vieira ATTACKS rival fan during pitch invasion
-
Football bosses have threatened clubs with sanctions in an effort to curb
the disturbing scenes which have plagued the game this week, including one
man wh...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni