• HABARI MPYA

    Friday, June 22, 2018

    MABAO YA DAKIKA ZA MAJERUHI YAIINUA BRAZIL, YASHINDA 2-0

    Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABAO YA DAKIKA ZA MAJERUHI YAIINUA BRAZIL, YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top