Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who blinks first over Reiss Nelson? – Opinion
-
With Arsenal expected to continue trimming the squad before the transfer
window closes, Reiss Nelson’s future remains one of the more intriguing
situations...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment