Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three Memorable Moments From The NHL's Top Rivalries In 2025–2026
-
From some of the top rivalries in the NHL currently, here are three
memorable moments that transpired in the 2025-26 season.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment