Toni Kroos akikimbia kushangilia baada ya kuwafungia bao la ushindi mabingwa watetezi, Ujerumani dakika ya 90 na ushei wakiichapa Sweden 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi. Hiyo ni baada ya Ola Toivonen kuanza kuifungia Sweden dakika ya 32 na Marco Reus kuisawazishia Ujerumani ambayo ilimpoteza Jerome Boateng aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry stuck out on the right flank, no room for Kevin De Bruyne and
two Man United legends... Phil Foden reveals his all-time Premier League XI
to Mail Sport
-
In addition to discussing the title run-in and detailing why he wears the
number 47 , Foden also named an all-time XI that raised more than a few
eyebrows ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment