Toni Kroos akikimbia kushangilia baada ya kuwafungia bao la ushindi mabingwa watetezi, Ujerumani dakika ya 90 na ushei wakiichapa Sweden 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi. Hiyo ni baada ya Ola Toivonen kuanza kuifungia Sweden dakika ya 32 na Marco Reus kuisawazishia Ujerumani ambayo ilimpoteza Jerome Boateng aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL first as a Pie signs a pie: Collingwood's Beau McCreery autographs a rat coffin for a fan
-
There have been some weird things athletes have been asked to sign, but
this one might take the cake - or the pie. Collingwood Magpies player Beau
McCreery...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni