Toni Kroos akikimbia kushangilia baada ya kuwafungia bao la ushindi mabingwa watetezi, Ujerumani dakika ya 90 na ushei wakiichapa Sweden 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi. Hiyo ni baada ya Ola Toivonen kuanza kuifungia Sweden dakika ya 32 na Marco Reus kuisawazishia Ujerumani ambayo ilimpoteza Jerome Boateng aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Country Music Legend Violet Hensley, Also Known as the ‘Whittlin’ Fiddler,’
Dies at 109
-
“Violet touched hearts of Silver Dollar City guests and citizens through
the sounds of her fiddle, the warmth of her smile and her stories,” a rep
for the ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment