Mchezaji mpya wa Liverpool, Naby Keita akikabidhiwa jezi namba nane (8) na gwiji wa klabu, Steven Gerrard ambaye alikuwa anavaa jezi hiyo kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani Mei 2015. Keita anatarajiwa kutambulishwa rasmi wiki ijayobaada ya makubaliano ya awali ya kusajiliwa kutoka RB Leipzig PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment