Nyota wa Atletico Madrid, Jose Gimenez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Uruguay dakika ya 89 ikiilaza 1-0 Misri katika mchezo wa Kunsi A Kombe la Dunia Uwanja wa Ekaterinburg Arena mjini Ekaterinburg, Urusi leo. Misri ilimkosa nyota wake, Mohamed Salah aliyekuwa benchi kutokana na maumivu ya bega aliyoyapata katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, klabu yake, Liverpool ikifungwa 3-1 na Real Madrid mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Arne Slot's side eye
fourth while Tottenham go in search of their first win of the year at
relegated Wolves as rivals West Ham host Everton
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Saturday's 3pm Premier League games
featuring Liverpool vs Crystal Palace, Wolves vs Tottenham and West Ham vs
Ever...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment