Nyota wa Atletico Madrid, Jose Gimenez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Uruguay dakika ya 89 ikiilaza 1-0 Misri katika mchezo wa Kunsi A Kombe la Dunia Uwanja wa Ekaterinburg Arena mjini Ekaterinburg, Urusi leo. Misri ilimkosa nyota wake, Mohamed Salah aliyekuwa benchi kutokana na maumivu ya bega aliyoyapata katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, klabu yake, Liverpool ikifungwa 3-1 na Real Madrid mwezi uliopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment