Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akiondoka kinyonge baada ya mchezo hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Kazan Arena, Urusi timu yake ikichapwa mabao 4-3 na Ufaransa na kutolewa. Sasa Ufaransa itakutana na mshindi kati ya Uruguay na Ureno kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Transfer: Arsenal eye stunning move for Real Madrid star Vinicius Jr
-
Arsenal are reportedly considering a move for Real Madrid winger Vinicius
Junior should the Brazilian fail to agree a new contract with the Spanish
giant...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment