Wachezaji wa Senegal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Thiago Cionek aliyejifunga dakika ya 37 baada ya kubabatizwa na shuti la Idrissa Gana Gueye katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Bao la pili la Senegal limefungwa na Mbaye Niang dakika ya 60, kabla ya Grzegorz Krychowiak kuifungia bao la kufutia machozi Poland dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's World Cup team 'plots' against America as regime commander declares
tournament a 'battlefield'
-
A prominent watchdog group is urging the US government to deny or revoke
visas for the Iranian national soccer team ahead of the World Cup.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment