Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gattuso Defines Ideal Role for Lazio Teenager Adrian Przyborek
-
After a couple of weeks of training, Lazio head coach Gennaro Gattuso has
been able to figure out what Adrian Przyborek can bring to the table.The
Backgrou...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment