Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PSG 'make desperate bid to keep Kylian Mbappe by offering complete control of sporting operations'
-
According to El Chiringuito TV, PSG have offered to make Mbappe 'the owner
of the project' from next season, where they will allow him a say in
changing th...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni