Gwiji wa Real Madrid, Mreno Luis Figo akimtoka gwiji wa Arsenal, Mfaransa Robert Pires katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Katika mchezo huo wa hisani kuchangia mfuko wa Arsenal ( The Arsenal Foundation) Real Madrid ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Raul dakika ya sita na Guti dakika ya 20, wakati la Washika Bunduki wa London lilifungwa na Luis Boa Morte dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Record-breaking Djokovic sees off Safiullin to progress to quarter-finals
-
Novak Djokovic defeats Roman Safiullin in four sets to reach the
quarter-finals of Wimbledon 2026, overtaking Roger Federer to become the
all-time wins lea...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment