Gwiji wa Real Madrid, Mreno Luis Figo akimtoka gwiji wa Arsenal, Mfaransa Robert Pires katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Katika mchezo huo wa hisani kuchangia mfuko wa Arsenal ( The Arsenal Foundation) Real Madrid ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Raul dakika ya sita na Guti dakika ya 20, wakati la Washika Bunduki wa London lilifungwa na Luis Boa Morte dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers FINALLY break silence over 'shameful' Old Firm violence: Club
condemns 'unacceptable' scenes after fans confronted Celtic supporters who
had invaded the pitch
-
Rangers have finally condemned the disorder that marred last Sunday's Old
Firm clash - and have backed a full and independent review of the shameful
scenes.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment