Gwiji wa Real Madrid, Mreno Luis Figo akimtoka gwiji wa Arsenal, Mfaransa Robert Pires katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Katika mchezo huo wa hisani kuchangia mfuko wa Arsenal ( The Arsenal Foundation) Real Madrid ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Raul dakika ya sita na Guti dakika ya 20, wakati la Washika Bunduki wa London lilifungwa na Luis Boa Morte dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment