Iago Aspas akiifungia bao la kusawazisha Hispania dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Morocco kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad, Urusi. Bao lingine la Hispania limefungwa na Isco dakika ya 19, wakati mabao ya Morocco yamefungwa na Khalid Boutaib dakika ya 14 na Youssef En-Nesyri dakika ya 81. Hispania imemaliza kileleni mwa Kundi B kwa pointi zake tano sawa na Ureno na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDIGONGA HAPA
Bahrain Grand Prix to be hosted in Malaysia in bizarre change to F1
calendar after Middle East chaos - with another extra race lined up
-
Daily Mail Sport understands the replacement venue will be announced,
probably as early as Sunday, to fill a gap left by war in the Middle East.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment