Iago Aspas akiifungia bao la kusawazisha Hispania dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Morocco kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad, Urusi. Bao lingine la Hispania limefungwa na Isco dakika ya 19, wakati mabao ya Morocco yamefungwa na Khalid Boutaib dakika ya 14 na Youssef En-Nesyri dakika ya 81. Hispania imemaliza kileleni mwa Kundi B kwa pointi zake tano sawa na Ureno na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDIGONGA HAPA
Roger Goodell deflects boos alongside Eminem at 2024 NFL Draft by bringing
host city Detroit's favorite son on stage along with Lions greats Barry
Sanders, Calvin Johnson, and Aidan Hutchinson
-
Roger Goodell deflected the boos from the NFL Draft crowd in Detroit by
bringing out hometown favorite rapper Eminem.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment