Paul Pogba akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ufaransa bao ushindi dakika ya 80 ikiilaza 2-1 Australia katika mchezo wa Kundi C Kombe la Dunia Uwanja wa Kazan' Arena nchini Urusi. Antoine Griezmann alianza kuifungia Ufarandsa kwa penalti ya msaada wa teknolojia ya picha za video (VAR) dakika ya 58, kabla ya teknolojia hiyo pia kuisaidia Australia kupata bao la kusawazisha kwa penalti pia lililofungwa na Mile Jedinak dakika ya 62 baada ya Samuel Umtiti kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BVB und Reus verlängern Vertrag nicht
-
Eine außergewöhnliche Zeit endet im Sommer. Borussia Dortmund und sein
langjähriger Kapitän Marco Reus haben sich gemeinsam darauf verständigt,
den am Sais...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment