Kipa wa Hispania, David de Gea akiwa mnyonge baada ya kufanya makosa yaliyompa nafasi Ricardo Rodriguez (kulia) kuisawazishia bao Uswisi dakika ya 62 baada ya beki wa kulia, Alvaro Odriozola kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya 29 katika sare ya 1-1 usiku wa jana Uwanja wa Ceramica mjini Villarreal kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy reveals why wife Erica missed his BBC SPOTY triumph - after
YEARS of coming close to the prize
-
The Northern Irishman finally got his hands on the prize after a stunning
year which saw him win The Masters, thereby completing golf's Grand Slam,
as well...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment