Kipa wa Hispania, David de Gea akiwa mnyonge baada ya kufanya makosa yaliyompa nafasi Ricardo Rodriguez (kulia) kuisawazishia bao Uswisi dakika ya 62 baada ya beki wa kulia, Alvaro Odriozola kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya 29 katika sare ya 1-1 usiku wa jana Uwanja wa Ceramica mjini Villarreal kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment