Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau (kushoto) akizungumza na Ofisa wa shirikisho hilo, Jemedari Said kabla ya fainali ya Kombe la TFF, maarufu kama Azam Sports Federation (ASFC) kati ya Mtibwa Sugar na Singida United Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha
Wilfred Kidau na Jemadari Said ni marafiki tangu miaka ya 1990 walipokuwa wanacheza soka
Yalikuwa mazungumzo yaliyokuja muda mfupi kabla ya mchezo kuanza
Baadaye kabla ya mechi kuanza Wilfred Kidau akaenda kuzungumza oia na Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser (kushoto)
Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa tajinASFC kwa ushindi wa mabao 3-2
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment