Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment