Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment