Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rob Sand to rally in Iowa governor bid with Kentucky Gov. Andy Beshear as
Democrats eye a flip
-
DES MOINES, Iowa (AP) — Rob Sand will rally a crowd for the first time as
the official Democratic nominee for Iowa governor on Sunday, kicking off a
countd...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment