Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Best Destinations For Expats In 2026, According To InterNations Survey
-
The Expat Insider 2026 survey by InterNations reveals the best and worst
countries for living and working abroad, with a Central American country
coming ou...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment