Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Norris' maiden win 'a long time coming'
-
Lando Norris says his first Formula 1 win was “a long time coming” after
his Miami Grand Prix victory.
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment