Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Best Destinations For Expats In 2026, According To InterNations Survey
-
The Expat Insider 2026 survey by InterNations reveals the best and worst
countries for living and working abroad, with a Central American country
coming ou...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment