Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rob Sand to rally in Iowa governor bid with Kentucky Gov. Andy Beshear as
Democrats eye a flip
-
DES MOINES, Iowa (AP) — Rob Sand will rally a crowd for the first time as
the official Democratic nominee for Iowa governor on Sunday, kicking off a
countd...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment