Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment