Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Ubelgiji dakika ya 75 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Ugiriki jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Georgios Karaiskaki mjini Pireas. Jan Vertonghen alianza kuifungia Ubelgiji ya kocha Roberto Martinez dakika ya 70, kabla ya Zeca kuisawazishia Ugiriki. Ubelgiji sasa inafikisha pointi 22 baada ya kucheza mechi nane na kuwa timu ya kwanza kufuzu fainali za mwakani za Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment