Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Ubelgiji dakika ya 75 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Ugiriki jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Georgios Karaiskaki mjini Pireas. Jan Vertonghen alianza kuifungia Ubelgiji ya kocha Roberto Martinez dakika ya 70, kabla ya Zeca kuisawazishia Ugiriki. Ubelgiji sasa inafikisha pointi 22 baada ya kucheza mechi nane na kuwa timu ya kwanza kufuzu fainali za mwakani za Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce, Taylor Swift Auction Eras Tour Tickets at Patrick Mahomes'
Charity Gala
-
Travis Kelce and Taylor Swift auctioned off tickets to the Eras Tour at
Patrick Mahomes' charity gala on Saturday, and they sold for a lofty price.
According…
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment