Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia baada ya kufanikiwa kumfunga kwa mara ya kwanza kipa mgumu kufungika wa Juventus, Gianluigi Buffon jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barca ilishinda 3-0 na Messi alifunga mabao mawili dakika ya 45 na 69 wakati la pili lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment