Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia baada ya kufanikiwa kumfunga kwa mara ya kwanza kipa mgumu kufungika wa Juventus, Gianluigi Buffon jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barca ilishinda 3-0 na Messi alifunga mabao mawili dakika ya 45 na 69 wakati la pili lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aehr Test (AEHR) Rockets 27.9% on 3x Revenue Growth Outlook
-
Aehr Test Systems soared by 27.86 percent on Tuesday to end at $98.91
apiece, as investors resorted to bargain-hunting after falling to the $75
level the p...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment