Tiemoue Bakayoko akishangilia baada ya kuifungia bao la nne Chelsea dakika ya 71 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Qarabag usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Pedro dakika ya tano, Davide Zappacosta dakika ya 30, Cesar Azpilicueta dakika ya 55, Michy Batshuayi dakika ya 76 na Maksim Medvedev aliyejifunga dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment