Tiemoue Bakayoko akishangilia baada ya kuifungia bao la nne Chelsea dakika ya 71 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Qarabag usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Pedro dakika ya tano, Davide Zappacosta dakika ya 30, Cesar Azpilicueta dakika ya 55, Michy Batshuayi dakika ya 76 na Maksim Medvedev aliyejifunga dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Curtis Jones copies Mohamed Salah celebration following Liverpool star's
goal against Lille - after claiming Eden Hazard was his favourite player
-
Curtis Jones appeared to poke fun at his recent suggestion Eden Hazard was
a 'better footballer' than Mohamed Salah, after copying his Liverpool
team-mate'...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment