Tiemoue Bakayoko akishangilia baada ya kuifungia bao la nne Chelsea dakika ya 71 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Qarabag usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Pedro dakika ya tano, Davide Zappacosta dakika ya 30, Cesar Azpilicueta dakika ya 55, Michy Batshuayi dakika ya 76 na Maksim Medvedev aliyejifunga dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James and the Lakers keep their NBA playoff hopes alive as LA's star
man puts up 30 points in 119-108 win over the Nuggets to reduce series
deficit to 3-1 and set up crucial fifth game
-
LeBron James scored 30 points to help the Los Angeles Lakers stave off
elimination with a 119-108 win over the Denver Nuggets on Saturday night in
Game 4 o...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment