Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 53 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya FC Basle jana Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Marouane Fellaini dakika ya 35 baada ya kuingia dakika ya 19 kuchukua nafasi ya Paul Pogba aliyeumia na Marcus Rashford dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nick Fortes, Yandy Díaz hit 3-run homers as Rays use season-high 21 hits to
rout Blue Jays 12-2
-
Nick Fortes and Yandy Díaz each hit a three-run homer, Jonny DeLuca added
two hits and three RBIs and the Tampa Bay Rays had a season-high 21 hits in
a 12-...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment