Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 53 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya FC Basle jana Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Marouane Fellaini dakika ya 35 baada ya kuingia dakika ya 19 kuchukua nafasi ya Paul Pogba aliyeumia na Marcus Rashford dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola spreads panic in Nigeria
-
The worsening outbreak of Ebola Virus Disease (EVD) in some African
countries, particularly the Democratic Republic of Congo (DRC), Uganda, and
now exten...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment