Shabiki wa Simba akila nyama mbichi jukwaani jana wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Shabiki wa kiume wa Simba akiwa amependeza na mtindo wake wa nywele
Mashabiki wa Simba wakifurahia jukwaani jana
Mashabiki wa Azam FC wakifuatilia mchezo wa jana Chamazi
Mlezi wa Azam FC, Jamal Bakhresa akiwa na Makamu Mwenyekiti wa timu hiyo, Abdulkarim Amin 'Popat'
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy (kulia) na Ally Suru (kushoto)
Vigogo wa Azam FC, kutoka kulia, Saad Kawemba, Nassor Idrissa, Abdallah Hassan na nyuma
Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (COREFA), Hassan Othman (kushoto)
Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Salum Chama akiwa na Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
Kocha wa Simba, Joseph Omog akizungumza na mchezaji wa Azam, Bryson Raphael na Meneja wa timu hiyo, Phillipo Alando (kushoto)
Off-contract footy superstar Patrick Dangerfield all but confirms his
future at Geelong - 'love the club'
-
Geelong superstar Patrick Dangerfield has confirmed his footy plans beyond
2026 - and it is good news for nervous Cats fans.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment