Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura (kushoto) akitoa maelekezo kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2018 baina ya wenyeji, Uganda na Misri jana Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala. Wambura alikuwa Kamisaa wa mechi hiyo ambayo The Cranes waliwalaza 1-0 Mafarao
Wambura akiwa pamoja na waamuzi wa mchezo huo na Manahodha
Wambura akiwa pamoja na Maofisa mbalimbali mbele ya mstari wa wachezaji
Kikosi cha Uganda kilichoanza jana
Kikosi cha Misri kilichoanza jana
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment