Mbrazil Roberto Firmino akipiga nje mkwaju wa penalti dakika ya 42 baada ya Sadio Mane kuangushwa na beki na Nahodha wa Sevilla, Nicolas Parejafluffs katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Liverpool iliyomaliza pungufu baada ya beki wake wa kulia, Joe Gomez kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 na ushei yalifungwa na Firmino dakika ya 21 na Mohamed Salah dakika ya 37, wakati ya Sevilla yalifungwa na Wissam Ben Yedder dakika ya tano na Joaquin Correa dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers trade idea reunites with player they moved in Luka Doncic trade for
Bronny James and more
-
This could be the trade the Lakers need.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment