Cristiano Ronaldo akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 12 na 51 kwa penalti usiku wa jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Bernabeu. Bao lingine la Real lilifungwa na Sergio Ramos dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thursday, September 14, 2017
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment