Cristiano Ronaldo akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 12 na 51 kwa penalti usiku wa jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Bernabeu. Bao lingine la Real lilifungwa na Sergio Ramos dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment