Cristiano Ronaldo akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 12 na 51 kwa penalti usiku wa jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Bernabeu. Bao lingine la Real lilifungwa na Sergio Ramos dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
5 Former Devils Still Looking For Work As Unrestricted Free Agents
-
There are a handful of former New Jersey Devils players who are still
looking for work in the NHL as unrestricted free agents.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment