Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Winter Olympics: GB's Mouat and Dodds in curling mixed doubles - watch live
-
Watch live coverage as the 2026 Winter Olympics begins with Great Britain's
Bruce Mouat and Jen Dodds facing Norway in the curling mixed doubles.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment