Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes names the EIGHT players Manchester United should sell this
summer - including England international he calls a 'great footballer'
-
Paul Scholes has delivered a ruthless verdict on the Manchester United
squad, naming eight players he would elect to sell in the upcoming summer
transfer w...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment