Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saka's sweet revenge! Fresh footage shows Tottenham fans sing 'you let your
country down' in dig about Euro 2020 penalty miss, right before he whips
in corner for Arsenal opener and cups his ears to them
-
Bukayo Saka made the Tottenham fans eat their words as he watched his
corner kick get headed in by one of their own players after they had
taunted him.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment