Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England and France players involved in prayer huddle just moments after
their epic World Cup third-place play-off in Miami
-
England and France's footballers put rivalry aside after their 10-goal
thriller in Miami on Saturday night to share a poignant moment of unity on
the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment