Mshambuliaji Andre Ayew akiifungia West Ham bao la pili dakika ya 77 baada ya awali kumsetia Pedro Obiang kufunga bao la kwanza dakika ya 72 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa London. Ayew, mtoto wa Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Mghana Abedi Pele alitokea benchi kwenye mchezo huo dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Javier Hernandez 64 'Chicharito' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mercedes’ George Russell takes pole for F1 sprint race at Canadian Grand
Prix
-
MONTREAL (AP) — George Russell took the pole Friday for the sprint race
Saturday at the Canadian Grand Prix, with Mercedes teammate and Formula 1
points le...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment