• HABARI MPYA

    Saturday, August 08, 2015

    JUVE WABEBA SUPER CUP YA ITALIA BAADA YA KUICHAPA 2-0 LAZIO


    Wachezaji wa Juventus wakisherehekea ushindi wa Super Cup ya Italia, baada ya kuifunga 2-0 Lazio mabao ya Mario Mandzukic na Paulo Dybala, hiyo ikiwa ni mara ya kwanza kwao kutwaa taji hilo ndani ya miaka minne.  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUVE WABEBA SUPER CUP YA ITALIA BAADA YA KUICHAPA 2-0 LAZIO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top