JUVE WABEBA SUPER CUP YA ITALIA BAADA YA KUICHAPA 2-0 LAZIO
Wachezaji wa Juventus wakisherehekea ushindi wa Super Cup ya Italia, baada ya kuifunga 2-0 Lazio mabao ya Mario Mandzukic na Paulo Dybala, hiyo ikiwa ni mara ya kwanza kwao kutwaa taji hilo ndani ya miaka minne.PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton dominate ten-man Villa
-
Brighton start their season with an emphatic win at home against Europa
League winners Aston Villa, with four first-half goals.
0 comments:
Post a Comment