Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-1 leo na Libya katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya hoteli ya The Green Park mjini Kartepe, Uturuki. Bao la Stars inayofundishwa na Charles Boniface Mkwasa lilifungwa mshambuliaji John Bocco 'Adebayor'. Stars imeweka kambi Uturuki kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria Septemba 5, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Michael Penix Jr. Disappointed with 4.46-Second 40-Yard Dash: 'Should've
Been a 4.4'
-
Former Washington quarterback Michael Penix Jr. wasn't impressed with his
40-yard dash time of 4.46 seconds at the school's pro day on Thursday.
"Should've…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment