Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-1 leo na Libya katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya hoteli ya The Green Park mjini Kartepe, Uturuki. Bao la Stars inayofundishwa na Charles Boniface Mkwasa lilifungwa mshambuliaji John Bocco 'Adebayor'. Stars imeweka kambi Uturuki kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya Nigeria Septemba 5, mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Over 100 tonnes of single-use plastics collected in two months
-
At least 110 tonnes of single-use plastic items in the country have been
collected for recycling under a new initiative that started two months ago.
In 2...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni