• HABARI MPYA

        Sunday, August 23, 2015

        'AZAM DAMU' UTAWAJUA TIMU YAO INAPOFUNGWA

        Shabiki wa Azam FC akiwa mnyonge jana baada ya timu yake kufungwa kwa penalti 8-7 na Yanga SC kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 90 katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: 'AZAM DAMU' UTAWAJUA TIMU YAO INAPOFUNGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry