• HABARI MPYA

    Sunday, August 23, 2015

    'AZAM DAMU' UTAWAJUA TIMU YAO INAPOFUNGWA

    Shabiki wa Azam FC akiwa mnyonge jana baada ya timu yake kufungwa kwa penalti 8-7 na Yanga SC kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 90 katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'AZAM DAMU' UTAWAJUA TIMU YAO INAPOFUNGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top