• HABARI MPYA

    Friday, August 28, 2015

    LIVERPOOL YAPANGWA NA BORDEAUX, RUBIN KAZAN NA SION EUROPA LEAGUE

    TIMU ya Liverpool imepangwa Kundi B katika Europa League pamoja na Rubin Kazan ya Urusi, Bordeaux ya Ufaransa na Sion Uswisi, wakati Tottenham Hotspur imepangwa katika kundi gumu ikiwemo kusafiri safari ndefu hadi Azerbaijan.
    Spurs imepangwa na Kundi J na Monaco, Anderlecht na FK Qarabag, ambao wanachezea mechi zao mji mkuu wa Azerbaijan, Baku - mwendo wa saa tano na nusu kwa ndege kutoka London. 
    Tottenham itasafiri angani saa 12 kwenda Azerbaijan kumenyana na Qarabag katika mechi ya Kundi J ya Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    MAKUNDI YOTE MICHUANO YA EUROPA LEAGUE

    Kundi A; Ajax, Celtic, Fenerbahce, Molde
    Kundi B; Rubin Kazan, Liverpool, Bordeaux, Sion
    Kundi C; Borussia Dortmund, POAK, Krasnodar, Gabala
    Kundi D; Napoli, Bruges, Legia Warsaw, Midtjylland 
    Kundi E; Villarreal, Viktoria Plzen, R. Vienna, D. Minsk
    Kundi F; Marseille, Braga, Slovan Liberec, Groningen

    Kundi G; Dnipro, Lazio, St Etienne, Rosenborg
    Kundi H; S.Lisbon, Besiktas, Lokomotiv, Skenderbeu
    Kundi I; Basle, Fiorentina, Lech Poznan, Belenenses
    Kundi J; Tottenham, Anderlecht, Monaco, Qarabag
    Kundi K; Schalke, APOEL, Sparta Prague, Tripolis
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAPANGWA NA BORDEAUX, RUBIN KAZAN NA SION EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top