• HABARI MPYA

    Wednesday, August 19, 2015

    BEKI LA KUSHOTO LA GHANA LAPEWA JEZI NAMBA 17 CHELSEA

    Beki wa kushoto wa kimataifa wa Ghana, Baba Rahman akiwa ameshika jezi namba 17 baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 21.7 Chelsea kutoka Augsburg ya Ujerumani jana viwanja vya mazoezi vya klabu hiyo, Cobham PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI LA KUSHOTO LA GHANA LAPEWA JEZI NAMBA 17 CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top