Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua vs. Jake Paul key takeaways: Paul finally gets what’s coming
to him — are we happy now?
-
Jake Paul finally got his comeuppance against Anthony Joshua in a messy
fight that took time to warm up to a full-scale tilt. Here are the five key
takeway...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment