Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane names when England will be knocked out of the World Cup because
they 'don't have many more gears to go to' - and the dead-cert starting
player who 'worries' him
-
Keane conceded England will likely reach their ceiling in a potential
quarter-final against Brazil.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment