Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oil rises above $91 as US-Iran peace talks stall
-
Crude oil prices rose above $91 a barrel on Tuesday as hopes of a
breakthrough in the stalled peace talks between the United States and Iran
faded, raisi...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment