Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment