Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Hamburg, mchezo wa ufunguzi, Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga usiku huu Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yamefungwa na Mehdi Benatia, Thomas Muller mawili na Douglas Costa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Solomon Robinson declares Chelsea his club, backs Blues for title
-
Popular football analyst and Chairman of KSAnalysis, Solomon Robinson, has
officially declared Chelsea Football Club as his club ahead of the new
Premier...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment