Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Hamburg, mchezo wa ufunguzi, Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga usiku huu Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yamefungwa na Mehdi Benatia, Thomas Muller mawili na Douglas Costa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary AFL coach Mick Malthouse, 72, was stabbed in the chest with a
screwdriver as he bravely bashed two home intruders in midnight attack,
court hears
-
A court has heard how a legendary AFL coach was stabbed in the chest with a
screwdriver as he defended his wife during an alleged attempted home
invasion.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment