Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Hamburg, mchezo wa ufunguzi, Ligi Kuu Ujerumani, maarufu kama Bundesliga usiku huu Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yamefungwa na Mehdi Benatia, Thomas Muller mawili na Douglas Costa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How cricket's 'Snicko' saved Cristiano Ronaldo's World Cup: Rarely-used
inside-the-ball tech sends Croatia crashing out in injury-time VAR drama
-
A tiny wave of motion wobbling along a screen brought Croatia players to
their knees and sent Portugal through to the World Cup last 16 on Thursday
night.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment