// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE YA BILA MABAO NA PRISONS MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECOASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE YA BILA MABAO NA PRISONS MKWAKWANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE YA BILA MABAO NA PRISONS MKWAKWANI
WENYEJI, Coastal Unión wamelazimishwa sare ya bila mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Kwa matokeo hayo, Coastal Unión inafikisha pointi 34 ingawa inabaki nafasi ya nne, wakati Tanzania Prisons inafikisha pointi 32 nayo inabaki nafasi ya sita baada ya wote kucheza mechi 25.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment