// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0
WENYEJI, Singida Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Mabao yote ya Singida Fountain Gate ambayo ipo chini ya kocha Ngawina Ramadhani Ngawina yamefungwa na mshambuliaji wake tegemeo, Habib Haji Kyombo la kwanza dakika ya nane na la pili kwa penalti dakika ya 77. Kwa ushindi huo, Singida Fountain Gate inafikisha pointi 29 katika mchezo wa 25 na kusogea nafasi ya tisa, wakati Dodoma Jiji FC inabaki na pointi zake 28 za mechi 24 na kushukia nafasi ya 10 kutoka ya nane.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment