// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KYOMBO APIGA ZOTE MBILI SINGIDA YAIKANDA DODOMA 2-0
WENYEJI, Singida Fountain Gate wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Mabao yote ya Singida Fountain Gate ambayo ipo chini ya kocha Ngawina Ramadhani Ngawina yamefungwa na mshambuliaji wake tegemeo, Habib Haji Kyombo la kwanza dakika ya nane na la pili kwa penalti dakika ya 77. Kwa ushindi huo, Singida Fountain Gate inafikisha pointi 29 katika mchezo wa 25 na kusogea nafasi ya tisa, wakati Dodoma Jiji FC inabaki na pointi zake 28 za mechi 24 na kushukia nafasi ya 10 kutoka ya nane.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment