// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAIKANDA MAN UTD 1-0 PALE PALE OLF TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAIKANDA MAN UTD 1-0 PALE PALE OLF TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAIKANDA MAN UTD 1-0 PALE PALE OLF TRAFFORD
TIMU ya Arsenal jana iliibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Bao pekee la Arsenal limefungwa na mshambuliaji Mbelgiji, Leandro Trossard dakika ya 20 na kwa ushindi huo, The Gunners inafikisha pointi 86 katika mchezo wa 37 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiwazidi pointi moja mabingwa watetezi, Manchester City ambayo pia ina mechi moja mkononi. Kwa upande wao Manchester United baada ya kupoteza mchezo huo inabaki na pointi zake 54 za mechi 36 nafasi ya nane.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment