// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, May 14, 2024

    JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI

    WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jana Uwanja wa Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo Mbweni, Dar es Salaam.  
    Mabao yote jana yalifungwa na kiungo Mghana, Nicholas Gyan anayeweza kucheza nafasi za ulinzi pia, kwanza akiifungia timu yake dakika ya 66 na baada ye kujifunga dakika ya 87 kuipatia bao la kusawazisha JKT Tanzania.
    Kwa matokeo hayo, JKT Tanzania inafikisha pointi 31 na kupanda kwa nafasi mbili hadi ya nane, wakati Singida Fountain Gate inafikisha pointi 30 nayo inapanda kwa nafasi moja hadi ya 11 baada ya wote kucheza mechi 27.
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JKT TANZANIA YAAMBULIA SARE 1-1 NA SINGIDA FG MBWENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top