WENYEJI, Zamalek SC wamefanikiwa kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Renaissance Sportive de Berkane (RSB) usiku wa jana Uwanja wa Cairo International Jijini Cairo nchini Misri. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, nyota mwenye umri wa miaka 26, Ahmed Hamdi Hussein Hafez dakika ya 23 akimalizia kazi nzuri ya kiungo mwenzake, Ahmed Mostafa Mohamed Sayed ‘Zizo’ wote Wamisri. Zamalek wanakuwa mabingwa kwa faida ya mabao ya bao ugenini baada ya sare ya jumla ya 2-2 kufuatia kufungwa 2-1 wiki iliyopita kwenye mchezo ya kwanza Uwanja wa Manispaa ya Berkane nchini Morocco. Huu unakuwa msimu wa pili mfululizo, bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika anapatikana kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya msimu uliopita USM Alger ya Algeria kutoa sare ya jumla ya 2-2 na Yanga ya Tanzania.
Asante Kotoko land rising star Saaka Dauda
-
Asante Kotoko have bolstered their attacking options by signing promising
forward Saaka Dauda from fellow Ghana Premier League side Bofoakwa Tano
ahead of ...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment