// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, May 14, 2024

    DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI


    WENYEJI, Dodoma Jiji FC sare ya bila mabao na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
    Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji FC wanafikisha pointi 30 katika mchezo wa 26 nafasi ya 11, wakati Namungo FC wanafikisha pointi 31 katika mchezo wa 27, nafasi ya nane.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DODOMA JIJI FC YAAMBULIA SULUHU KWA NAMUNGO JAMHURI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top