// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YAICHAPA TOTTENHAM HOTSPUR 2-0 STAMFORD BRIDGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YAICHAPA TOTTENHAM HOTSPUR 2-0 STAMFORD BRIDGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CHELSEA YAICHAPA TOTTENHAM HOTSPUR 2-0 STAMFORD BRIDGE
WENYEJI, Chelsea wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao ya The Blues yamefungwa na washambuliaji, Muingereza mwenye asili ya Sierra Leon, Trevoh Chalobah dakika ya 24 na Msenegal, Nicolas Jackson dakika ya 72. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 51 na kusogea nafasi ya nane, wakati Tottenham Hotspur inabaki na pointi zake 60 nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 34.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment