// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BIASHARA UNITED YAJISOGEZA KARIBU NA LİGİ KUU, MBEYA KWANZA KUJARIBU TENA MSIMU UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBIASHARA UNITED YAJISOGEZA KARIBU NA LİGİ KUU, MBEYA KWANZA KUJARIBU TENA MSIMU UJAO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BIASHARA UNITED YAJISOGEZA KARIBU NA LİGİ KUU, MBEYA KWANZA KUJARIBU TENA MSIMU UJAO
TIMU ya Biashara United imefuzu hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kupanda Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuitoa Mbeya Kwanza kufuatia kuichapa 2-0 jana Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara. Mabao ya Biashara United jana yalifungwa na Charles Lukindo na Abeid Athumani na kwa matokeo hayo Biashara United inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 4-0 kufuatia kuichapa Mbeya Kwanza 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Karume mjini Musoma. Biashara sasa itasubiri timu itakayoporomoka kutoka Ligi Kuu ikutane nayo katika mechi mbili za nyumbani na ugenini na mshindi wa jumla ndiye atacheza Ligi Kuu msimu ujao na atakayefungwa atacheza Championship.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment