KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya Ihefu SC keshokutwa kuanzia Saa 9:30 Alasiri Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini humo. Mshindi wa mechi za michuano hiyo ambayo sasa inatambulishwa kama CRDB Bank Federation Cup atakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kati ya Azam FC na Coastal Union zinazomenyana kesho Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. GONGA KUTAZAMA PICHA YANGA ILIVYOWASILI ARUSHA
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment