// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, May 17, 2024

    YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI


    KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) dhidi ya Ihefu SC keshokutwa kuanzia Saa 9:30 Alasiri Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini humo.
    Mshindi wa mechi za michuano hiyo ambayo sasa inatambulishwa kama CRDB Bank Federation Cup atakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kati ya Azam FC na Coastal Union zinazomenyana kesho Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
    GONGA KUTAZAMA PICHA YANGA ILIVYOWASILI ARUSHA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOWASILI ARUSHA KUIVAA IHEFU JUMAPILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top