// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA SC WAWASILI MAKAO MAKUU YA NCHI KUIVAA DODOMA JIJI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA SC WAWASILI MAKAO MAKUU YA NCHI KUIVAA DODOMA JIJI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SIMBA SC WAWASILI MAKAO MAKUU YA NCHI KUIVAA DODOMA JIJI
KIKOSI cha Simba SC kimewasili salama Jijini Dodoma mapema leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, kesho Uwanja wa Jamhuri. Simba SC inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu kwa pointi zake 57 za mechi 26 nyuma ya Azam FC yenye pointi 60 za mechi 27, wakati Dodoma Jiji ina pointi 30 za mechi 26 nafasi ya 11. Na wote wapo nyuma ya mabingwa tayari, kwa mara ya tatu mfululizo, Yanga SC yenye pointi 71 za mechi 27. GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment