ZOEZI LA UANDIKISHAJI WANACHAMA KIDIJITALI YANGA LAANZIA ZENJI
ZOEZI la usajili wa wanachama katika mfumo wa Kidijitali na utoaji wa elimu juu ya faida za kuwa uanachama wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam limeanza rasmi eneo la Abla Beach Apartments, Barabara ya Malawi, visiwani Zanzibar.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment