BAO la Nahodha, Youssef Msakni dakika ya 47 limeipa Tunisia ushindi wa 1-0 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika usiku wa Jumapili Uwanja wa Roumdé Adjia Jijini Garoua, Cameroon.
Mechi nyingine ya 16 Bora usiku huo, Burkina Faso ilitoa Gabon kwa penalti 7-6 kufuatia sare ya 1-1 Uwanja wa Limbe.
0 comments:
Post a Comment