BAO la Nahodha, Youssef Msakni dakika ya 47 limeipa Tunisia ushindi wa 1-0 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika usiku wa Jumapili Uwanja wa Roumdé Adjia Jijini Garoua, Cameroon.
Mechi nyingine ya 16 Bora usiku huo, Burkina Fasoilitoa Gabon kwa penalti 7-6 kufuatia sare ya 1-1 Uwanja wa Limbe.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment